1947
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920 |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| ►
◄◄ |
◄ |
1943 |
1944 |
1945 |
1946 |
1947
| 1948
| 1949
| 1950
| 1951
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1947 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 15 Januari - Martin Chalfie, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2008
- 29 Januari - Linda Buck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2004
- 4 Februari - Dan Quayle, Kaimu Rais wa Marekani
- 12 Machi - Mitt Romney, mwanasiasa kutoka Marekani
- 25 Machi - Elton John, mwanamuziki kutoka Uingereza
- 26 Machi - Subhash Kak, mwanafizikia na mwandishi kutoka Uhindi
- 5 Aprili - Gloria Arroyo, Rais wa Ufilipino
- 13 Aprili - Rae Armantrout, mshairi kutoka Marekani
- 18 Aprili - James Woods, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 24 Aprili - Roger Kornberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2006
- 28 Aprili - William Shija, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 8 Mei - Robert Horvitz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2002
- 9 Mei - Michael Levitt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2013
- 8 Juni - Eric Wieschaus, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1995
- 20 Julai - Gerd Binnig, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1986
- 30 Julai - Françoise Barré-Sinoussi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2008
- 31 Julai - Richard Griffiths, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 7 Agosti - Sofia Rotaru, mwimbaji wa Urusi
- 3 Septemba - Kjell Magne Bondevik, Waziri mkuu wa Norwei (1997-2000; 2001-2005)
- 8 Septemba - Amos Biwott, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Kenya
- 20 Septemba - Juma Jamaldin Akukweti, mwanasiasa wa Tanzania
- 1 Oktoba - Aaron Ciechanover, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2004
- 3 Oktoba - Feetham Filipo Banyikwa, mwanasiasa wa Tanzania
- 26 Oktoba - Hillary Clinton, Seneta wa jimbo la New York, Marekani
- 13 Novemba - Joe Mantegna, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 8 Desemba - Thomas Cech, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1989
bila tarehe
- Remmy Ongala, mwanamuziki wa Tanzania
- William Shija, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 12 Aprili - Louis Leipoldt, mwandishi wa Afrika Kusini
- 24 Aprili - Willa Cather, mwandishi kutoka Marekani
- 16 Mei - Frederick Hopkins, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1929
- 20 Mei - Philipp Lenard, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1905
- 24 Septemba - Andrew C. McLaughlin, mwanahistoria kutoka Marekani
- 4 Oktoba - Max Planck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1918
- 7 Desemba - Nicholas Butler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931
