Tuzo ya Nobel ya Amani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tuzo ya Nobel ya Amani inatolewa na kamati ya Nobel ya Norway iliyochaguliwa na Bunge ya Norway kufuatana na wasia ya Alfred Nobel.

Tangu mwaka 1901 tuzo imepokelewa na watu wafuatao au taasisi zifuatazo:


1901 Henri Dunant na Frederic Passy

1902 Elie Ducommun na Charles-Albert Gobat

1903 Randal Cremer

1904 Taasisi ya Haki ya Kimataifa

1905 Bertha von Suttner

1906 Theodore Roosevelt

1907 Ernesto Teodoro Moneta na Louis Renault

1908 Klas Pontus Arnoldson na Fredrik Bajer

1909 Auguste Beernaert

1910 Ofisi ya Kimataifa ya Amani

1911 Tobias Asser na Alfred Fried

1912 Elihu Root

1913 H. La Fontaine

1914-16 (hakuna tuzo ya Amani)

1917 Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu

1918 (hakuna tuzo ya Amani)

1919 Woodrow Wilson

1920 Leon Bourgeois

1921 Karl Hjalmar Branting na Christian Louis Lange

1922 Fridtjof Nansen

1923 (hakuna tuzo ya Amani)

1924 (hakuna tuzo ya Amani)

1925 Austen Chamberlain na Charles Dawes

1926 Aristide Briand na Gustav Stresemann

1927 Ferdinand-Edouard Buisson na Ludwig Quidde

1928 (hakuna tuzo ya Amani)

1929 Frank Kellogg

1930 Nathan Söderblom

1931 Nicholas Butler na Jane Addams

1932 (hakuna tuzo ya Amani)

1933 Norman Angell

1934 Arthur Henderson

1935 Carl von Ossietzky

1936 Carlos Saavedra Lamas

1937 Cecil of Chelwood

1938 Tume ya Nansen kwa Wakimbizi

1939-43 Tuzo ya Nobel haikutolewa kwa sababu ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia.

1944 Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu

1945 Cordell Hull

1946 Emily Balch na John Raleigh Mott

1947 Jumuiya ya Marafiki (‘’Society of Friends’’)

1948 (hakuna tuzo ya Amani)

1949 John Boyd-Orr

1950 Ralph Bunche

1951 Leon Jouhaux

1952 Albert Schweitzer

1953 George Marshall

1954 Ofisi ya Kamishna wa Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi

1955 (hakuna tuzo ya Amani)

1956 (hakuna tuzo ya Amani)

1957 Lester Pearson

1958 Padre Dominique Pire

1959 Philip Noel-Baker

1960 Albert Lutuli

1961 Dag Hammarskjöld

1962 Linus Pauling

1963 Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu

1964 Martin Luther King

1965 UNICEF

1966 (hakuna tuzo ya Amani)

1967 (hakuna tuzo ya Amani)

1968 Rene Cassin

1969 Shirika la Kimataifa la Kazi (I.L.O.)

1970 Norman Borlaug

1971 Willy Brandt

1972 (hakuna tuzo ya Amani)

1973 Henry Kissinger na Le Duc Tho

1974 Sean MacBride na Eisaku Sato

1975 Andrei Sakharov

1976 Betty Williams na Mairead Corrigan

1977 Amnesty International

1978 Anwar Al-Sadat na Menachem Begin

1979 Mama Teresa

1980 Adolfo Esquivel

1981 Ofisi ya Kamishna wa Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi

1982 Alva Myrdal na Alfonso Gobles

1983 Lech Wałęsa

1984 Askofu Desmond Tutu

1985 Shirika la Madaktari wa Kimataifa kwa Kuzuia Vita ya Nyuklia

1986 Elie Wiesel

1987 Oscar Sanchez

1988 Majeshi ya Kukinga Amani ya Umoja wa Mataifa

1989 Tenzin Gyatso

1990 Mikhail Gorbachev

1991 Aung San Suu Kyi

1992 Rigoberta Menchu

1993 Nelson Mandela na Frederik Willem de Klerk

1994 Yasser Arafat, Shimon Peres na Yitzhak Rabin

1995 Joseph Rotblat

1996 Carlos Ximenes Belo na Jose Ramon Horta

1997 Jody Williams

1998 John Hume na David Trimble

1999 Shirika la Médecins sans Frontières

2000 Kim Dae Jung

2001 Kofi Annan na Umoja wa Mataifa

2002 Jimmy Carter

2003 Shirin Ebadi

2004 Wangari Maathai

2005 Mohamed ElBaradei

2006 Muhammad Yunus na Benki ya Grameen

2007 Al Gore na Intergovernmental Panel on Climate Change

2008 Martti Ahtasaari

2009 Barack Obama

2010 Liu Xiaobo

2011 Ellen Johnson Sirleaf, Leymah Gbowee, na Tawakel Karman

2012 Umoja wa Ulaya

2013 Organisation for the Prohibition of Chemical Weapons

2014 Kailasha Satyarthi na Malala Yousafzai

2015 Harakati ya Mazungumzo ya Kitaifa ya Tunisia

2016 Juan Manuel Santos