Woodrow Wilson
Jump to navigation
Jump to search
| Woodrow Wilson | |
| Muda wa Utawala Machi 4, 1913 – Machi 4, 1921 | |
| Makamu wa Rais | Thomas R. Marshall |
| mtangulizi | William Howard Taft |
| aliyemfuata | Warren G. Harding |
| tarehe ya kuzaliwa | 28 Desemba 1856 Staunton, Virginia, Marekani |
| tarehe ya kufa | 3 Februari 1924 (umri 67) Washington, D.C., Marekani |
| mahali pa kuzikiwa | Washington National Cathedral |
| chama | Democratic |
| ndoa | Ellen Axson Wilson (m. 1885–1914) Edith Wilson (m. 1915) |
| watoto | Margaret Woodrow Wilson Jessie Woodrow Wilson Sayre Eleanor Wilson McAdoo |
| mhitimu wa | Princeton University (Bachelor of Arts) University of Virginia Johns Hopkins University (Master of Arts; Doctor of Philosophy) |
| signature | |
Thomas Woodrow Wilson (28 Desemba 1856 – 3 Februari 1924) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani.
Miaka ya 1913 hadi 1921 alikuwa Rais wa Marekani.
Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.
| |||||||||
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Woodrow Wilson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |