Desmond Tutu
Jump to navigation
Jump to search
Desmond Mpilo Tutu (alizaliwa tarehe 7 Oktoba, mwaka 1931) ni Askofu mkuu wa Kanisa Anglikana nchini Afrika Kusini. Ilivyofika mwaka wa 1984 alipokea Tuzo ya Nobel ya Amani.
Maandiko[hariri | hariri chanzo]
- Crying in the Wilderness, 1982
- Hope and Suffering: Sermons and Speeches, 1983
- The Words of Desmond Tutu, 1989
- The Rainbow People of God: The Making of a Peaceful Revolution, 1994
- Worshipping Church in Africa, 1995
- The Essential Desmond Tutu, 1997
- No Future without Forgiveness, 1999
- An African Prayerbook, 2000
- God Has a Dream: A Vision of Hope for Our Time, 2004
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Desmond Tutu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |