Baba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Baba akiwa amempakata mtoto, Dhaka, Bangladesh.

Baba ni mwanamume aliyemzaa mtoto au anamlea.

Katika uzazi, baba ndiye anayesababisha jinsia ya mtoto kwa kumrithisha kromosomu Y (mtoto wa kiume) au kromosomu X tu (mtoto wa kike).

Saikolojia inaonyesha pia umuhimu wa kuwepo kwa baba mwenye pendo, akishirikiana na mama, katika kukua kwa mtoto.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • Marcia C. Inhorn, Wendy Chavkin, and Jose-Alberto Navarro, eds. Globalized Fatherhood by (Berghahn Books; 2014) 419 pages; studies by anthropologists, sociologists, and cultural geographers -
  • M.J. Diamond (2007) My Father Before Me; How Fathers and Sons Influence Each Other Throughout Their Lives. New York: WW Norton.