1996
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1992 |
1993 |
1994 |
1995 |
1996
| 1997
| 1998
| 1999
| 2000
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1996 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 13 Julai - Amini Cishugi, mwandishi na mtoa video kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 28 Januari - Joseph Brodsky, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1987
- 18 Machi - Odysseas Elytis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1979
- 11 Mei - Nnamdi Azikiwe, Rais wa kwanza wa Nigeria
- 6 Juni - George Snell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 15 Juni - Ella Fitzgerald, mwimbaji wa kike Mmarekani wa Jazz
- 22 Julai – Vermont Royster, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1953
- 1 Agosti - Tadeus Reichstein, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950
- 8 Agosti - Nevill Mott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1977
- 9 Agosti - May Ayim, mwandishi Mwafrika kutoka Ujerumani alijiua
- 26 Agosti - Sven Stolpe, mwandishi kutoka Uswidi
- 13 Septemba - Tupac Shakur, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 17 Septemba - Spiro Agnew, Kaimu Rais wa Marekani
- 26 Septemba - Geoffrey Wilkinson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1973
- 3 Novemba - Jean Bedel Bokassa, Rais (1966-1976) na Kaisari (1976-1979) wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
- 21 Novemba - Abdus Salam, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1979
- 23 Novemba - Mohamed Amin, mpiga picha kutoka Kenya
