1996
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1992 |
1993 |
1994 |
1995 |
1996
| 1997
| 1998
| 1999
| 2000
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1996 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 13 Julai - Amini Cishugi, mwandishi na mtoa video kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 28 Januari - Joseph Brodsky, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1987
- 18 Machi - Odysseas Elytis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1979
- 11 Mei - Nnamdi Azikiwe, Rais wa kwanza wa Nigeria
- 6 Juni - George Snell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 15 Juni - Ella Fitzgerald, mwimbaji wa kike Mmarekani wa Jazz
- 22 Julai – Vermont Royster, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1953
- 1 Agosti - Tadeus Reichstein, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950
- 8 Agosti - Nevill Mott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1977
- 9 Agosti - May Ayim, mwandishi Mwafrika kutoka Ujerumani alijiua
- 26 Agosti - Sven Stolpe, mwandishi kutoka Uswidi
- 13 Septemba - Tupac Shakur, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 17 Septemba - Spiro Agnew, Kaimu Rais wa Marekani
- 26 Septemba - Geoffrey Wilkinson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1973
- 3 Novemba - Jean Bedel Bokassa, Rais (1966-1976) na Kaisari (1976-1979) wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
- 21 Novemba - Abdus Salam, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1979
- 23 Novemba - Mohamed Amin, mpiga picha kutoka Kenya
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: