1966
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940 |
Miaka ya 1950 |
Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| Miaka ya 1980
| Miaka ya 1990
| ►
◄◄ |
◄ |
1962 |
1963 |
1964 |
1965 |
1966
| 1967
| 1968
| 1969
| 1970
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1966 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 8 Januari - Gianfranco Chiarini, mpishi wa Italia
- 10 Januari - Hawa Ghasia, mwanasiasa wa Tanzania na Waziri wa Huduma za Umma (2005-2010)
- 6 Februari - Rick Astley
- 20 Februari - Dennis Mitchell, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Marekani
- 27 Februari - Japhet N'Doram, mchezaji mpira wa Chad
- 21 Machi - DJ Premier, mwanamuziki kutoka Marekani
- 8 Aprili - Robin Wright
- 15 Aprili - Samantha Fox
- 26 Aprili - Natasha Trethewey, mshairi kutoka Marekani
- 16 Mei - Janet Jackson
- 23 Mei - H. Jon Benjamin, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 26 Juni - Adam Kighoma Malima, mbunge wa Tanzania
- 30 Juni - Mike Tyson, mpiga ngumi kutoka Marekani
- 11 Julai - Cheb Mami, mwanamuziki kutoka Algeria
- 17 Julai - Guru, mwanamuziki kutoka Marekani
- 22 Julai - Erick Keter, mwanariadha kutoka Kenya
- 26 Julai - Anna Rita Del Piano, mwigizaji wa filamu kutoka Italia
- 7 Agosti - Jimmy Wales, mwanzilishi wa Wikipedia
- 22 Agosti - Paul Ereng, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Kenya
- 22 Agosti - GZA, mwanamuziki kutoka Marekani
- 9 Septemba - Adam Sandler, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 11 Oktoba - Luke Perry (f. 2019)
- 28 Oktoba - Andy Richter, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 7 Desemba - Lucía Etxebarria, mwandishi na mshairi kutoka Hispania
- 21 Desemba - Kiefer Sutherland, mwigizaji filamu kutoka Kanada
- 23 Desemba - Hussein Ali Mwinyi, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 15 Januari - Ahmadu Bello, mwanasiasa wa Nigeria
- 10 Machi - Frits Zernike, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1953
- 3 Aprili - Russel Crouse, mwandishi kutoka Marekani
- 4 Juni - Chang Myon, mwanasiasa kutoka Korea Kusini
- 5 Julai - Georg von Hevesy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1943
- 2 Novemba - Peter Debye, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1936
- 26 Novemba - Gallus Steiger, askofu wa Peramiho, Tanzania, kutoka Uswisi
- 14 Desemba - Verna Felton, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 15 Desemba - Walt Disney, mwongozaji filamu na mwanakatuni kutoka Marekani
