Albert Lutuli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake halisi.
Sanamu yake katika Nobel Square, Cape Town.

Albert Lutuli[1] (takriban 189821 Julai, 1967) alikuwa mwalimu na mwanasiasa kutoka nchi ya Afrika Kusini.

Alikuwa kiongozi wa ANC kuanzia mwaka 1952 hadi kifo chake mwaka 1967.

Mwaka wa 1960 alishinda Tuzo ya Nobel ya Amani kwa ajili ya kutokutumia nguvu katika kupinga apartheid.

Huangaliwa kama mtakatifu katika Kanisa Anglikana la Marekani.

Sikukuu yake ni tarehe 21 Julai, siku ya kifo chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Albert Lutuli kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.