Nenda kwa yaliyomo

Guglielmo Marconi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Guglielmo Marconi
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaUfalme wa Italia Hariri
Jina katika lugha mamaGuglielmo Marconi Hariri
Jina la kuzaliwaGuglielmo Giovanni Maria Marconi Hariri
Jina halisiGuglielmo, Giovanni, Maria Hariri
Jina la familiaMarconi Hariri
Cheo cha heshimaMarquess Hariri
Tarehe ya kuzaliwa25 Aprili 1874 Hariri
Mahali alipozaliwaBologna Hariri
Tarehe ya kifo20 Julai 1937 Hariri
Mahali alipofarikiRoma Hariri
Chanzo cha kifovifo vya kawaida Hariri
Sehemu ya kuzikwaKanisa la Mtakatifu Cruz Hariri
BabaGiuseppe Marconi Hariri
MamaAnnie Jameson Hariri
MwenziBeatrice Marconi, Maria Cristina Bezzi-Scali Hariri
MtotoDegna Marconi Paresce Hariri
NduguFrancesco Paresce Hariri
Significant personPapa Pius XI Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiitalia Hariri
Taalumauhandisi wa umeme, physical science Hariri
MwajiriChuo Kikuu cha Mtakatifu Andrea Hariri
Nafasi ilioshikiliwasenator of the Kingdom of Italy Hariri
AlisomaUniversity of Bologna Hariri
Eneo la kaziVarenna, Bellagio, Chiesa sopra Olcio Hariri
Mwanachama wa chama cha siasaNational Fascist Party Hariri
DiniKatoliki Hariri
MgogoroVita Kuu ya Kwanza ya Dunia Hariri
Tawi la kijeshiRoyal Italian Navy Hariri
Magnum opusVatican Radio Hariri
Kumbukumbu katikaBodleian Library, ETH Zurich University Archives Hariri
Significant placeLierna Hariri
Hupendeleafizikia Hariri

Guglielmo Marconi (25 Aprili 187420 Julai 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Italia. Baada ya uchunguzi mwingi, alivumbua njia ya mawasiliano bila waya.

Mwaka wa 1909, pamoja na Ferdinand Braun alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Marconi ametajwa mara nyingi kama mvumbuzi wa redio pamoja na Nikola Tesla na Alexander Popov.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Guglielmo Marconi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.