Uhandisi wa umeme
Mandhari

Uhandisi wa umeme ni taaluma ya uhandisi inayohusika na utafiti, muundo na utumiaji wa vifaa, na mifumo inayotumia umeme na sumaku.
Iliibuka kama kazi inayotambulika mwishoni mwa karne ya 19 baada ya biashara ya telegraph ya umeme, simu na uzalishaji wa nguvu za umeme, usambazaji na matumizi.
Uhandisi wa umeme umegawanyika katika nyanja mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uhandisi wa kompyuta, uhandisi wa mifumo, uhandisi wa nishati, mawasiliano ya simu, uhandisi wa mawimbi ya redio, uchakataji wa taarifa, ala, seli za fotovoltaiki(photovoltaic), umeme, na mambo ya mwanga na tabia zake.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |