2008
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 2004 | 2005 | 2006 | 2007 | 2008 | 2009 | 2010 | 2011 | 2012 | ► | ►►
Jan. | Feb. | Mac. | Apr. | Mei | Jun. | Jul. | Ago. | Sep. | Okt. | Nov. | Des.
Mwaka wa 2008 umetangazwa kuwa Mwaka wa Lugha wa Kimataifa.
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2008 MMVIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5768 – 5769 |
Kalenda ya Ethiopia | 2000 – 2001 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1457 ԹՎ ՌՆԾԷ |
Kalenda ya Kiislamu | 1429 – 1430 |
Kalenda ya Kiajemi | 1386 – 1387 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2063 – 2064 |
- Shaka Samvat | 1930 – 1931 |
- Kali Yuga | 5109 – 5110 |
Kalenda ya Kichina | 4704 – 4705 丁亥 – 戊子 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 1 Januari - Lucas Sang, mwanariadha wa Kenya
- 11 Januari - Edmund Hillary, mpelelezi kutoka New Zealand na mtu wa kwanza kufika kileleni Mount Everest
- 27 Januari - Suharto, Rais wa pili wa Indonesia (1967-1998)
- 17 Aprili - Aime Cesaire, mwandishi kutoka Martinique
- 15 Mei - Willis Lamb, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1955
- 26 Mei - Sydney Pollack, mwigizaji na mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Juni - Yves Saint Laurent, msanii wa nguo kutoka Ufaransa
- 10 Juni - Kipkalya Kones, mwanasiasa wa Kenya
- 10 Juni - Lorna Laboso, mwanasiasa wa Kenya
- 15 Juni - Stan Winston, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Juni - Noni Jabavu, mwandishi wa Afrika Kusini
- 23 Juni - Arthur Chung, Rais wa Guyana (1970-1980)
- 3 Julai - Levy Mwanawasa, Rais wa tatu wa Zambia (2001-2008)
- 27 Julai - Chacha Zakayo Wangwe, mwanasiasa wa Tanzania
- 28 Julai - Wendo Kolosoy, mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- 3 Agosti - Aleksandr Solzhenitsyn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1970)
- 24 Agosti - Tad Mosel, mwandishi kutoka Marekani
- 26 Septemba - Paul Newman, mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani
- 27 Oktoba - Ezekiel Mphahlele, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 10 Novemba - Miriam Makeba, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
- 29 Novemba - Jørn Utzon, msanifu majengo kutoka Denmark
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: