2008
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 20 |
Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990 |
Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
2004 |
2005 |
2006 |
2007 |
2008
| 2009
| 2010
| 2011
| 2012
| ►
| ►►
Jan.
| Feb.
| Mac.
| Apr.
| Mei
| Jun.
| Jul.
| Ago.
| Sep.
| Okt.
| Nov.
| Des.
Mwaka wa 2008 umetangazwa kuwa Mwaka wa Lugha wa Kimataifa.
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 1 Januari - Lucas Sang, mwanariadha wa Kenya
- 11 Januari - Edmund Hillary, mpelelezi kutoka New Zealand na mtu wa kwanza kufika kileleni Mount Everest
- 27 Januari - Suharto, Rais wa pili wa Indonesia (1967-1998)
- 17 Aprili - Aime Cesaire, mwandishi kutoka Martinique
- 15 Mei - Willis Lamb, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1955
- 26 Mei - Sydney Pollack, mwigizaji na mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Juni - Yves Saint Laurent, msanii wa nguo kutoka Ufaransa
- 10 Juni - Kipkalya Kones, mwanasiasa wa Kenya
- 10 Juni - Lorna Laboso, mwanasiasa wa Kenya
- 15 Juni - Stan Winston, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 19 Juni - Noni Jabavu, mwandishi wa Afrika Kusini
- 23 Juni - Arthur Chung, Rais wa Guyana (1970-1980)
- 3 Julai - Levy Mwanawasa, Rais wa tatu wa Zambia (2001-2008)
- 27 Julai - Chacha Zakayo Wangwe, mwanasiasa wa Tanzania
- 28 Julai - Wendo Kolosoy, mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- 3 Agosti - Aleksandr Solzhenitsyn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1970)
- 24 Agosti - Tad Mosel, mwandishi kutoka Marekani
- 26 Septemba - Paul Newman, mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani
- 27 Oktoba - Ezekiel Mphahlele, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 10 Novemba - Miriam Makeba, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
- 29 Novemba - Jørn Utzon, msanifu majengo kutoka Denmark
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: