2013
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 20 |
Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990 |
Miaka ya 2000 |
Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
2009 |
2010 |
2011 |
2012 |
2013
| 2014
| 2015
| 2016
| 2017
| ►
| ►►
Jan.
| Feb.
| Mac.
| Apr.
| Mei
| Jun.
| Jul.
| Ago.
| Sep.
| Okt.
| Nov.
| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2013 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2022 MMXXII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5782 – 5783 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2775 |
Kalenda ya Ethiopia | 2014 – 2015 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1471 ԹՎ ՌՆՀԱ |
Kalenda ya Kiislamu | 1444 – 1445 |
Kalenda ya Kiajemi | 1400 – 1401 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2077 – 2078 |
- Shaka Samvat | 1944 – 1945 |
- Kali Yuga | 5123 – 5124 |
Kalenda ya Kichina | 4718 – 4719 辛丑 – 壬寅 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 14 Januari - Conrad Bain, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 7 Februari - Amedeus Msarikie, askofu Mkatoliki kutoka Tanzania
- 28 Machi - Richard Griffiths, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 4 Aprili - Roger Ebert, mwandishi wa habari kutoka Marekani
- 10 Aprili - Robert G. Edwards, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2010
- 11 Aprili - Jonathan Winters, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Mei - Mangwair, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 19 Juni - James Gandolfini, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 12 Julai - Pran, mwigizaji wa filamu kutoka Uhindi
- 30 Agosti - Seamus Heaney, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1995
- 12 Septemba - Otto Sander, mwigizaji wa filamu kutoka Ujerumani
- 12 Oktoba - Oscar Hijuelos, mwandishi kutoka Marekani
- 20 Oktoba - Julius Nyaisangah, mtangazaji wa redio kutoka Tanzania
- 24 Oktoba - Raymond Mwanyika, askofu Mkatoliki kutoka Tanzania
- 5 Desemba - Nelson Mandela, rais wa Afrika Kusini, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1993
- 14 Desemba - Peter O'Toole, mwigizaji wa filamu kutoka Eire
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: