1917
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| ►
◄◄ |
◄ |
1913 |
1914 |
1915 |
1916 |
1917
| 1918
| 1919
| 1920
| 1921
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1917 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 8 Januari - Peter Taylor, mwandishi kutoka Marekani
- 25 Januari - Ilya Prigogine, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1977
- 14 Februari - Herbert Hauptman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1985
- 1 Machi- Robert Lowell, mshairi kutoka Marekani
- 24 Machi - John Kendrew, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1962
- 10 Aprili - Robert Woodward, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1965
- 25 Aprili - Ella Fitzgerald, mwimbaji wa kike Mmarekani wa Jazz
- 26 Aprili - Ieoh Ming Pei, msanifu majengo kutoka China na Marekani
- 29 Mei - John F. Kennedy (Rais wa Marekani)
- 1 Juni - William Knowles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2001
- 7 Juni – Gwendolyn Brooks, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1949
- 15 Juni - John Fenn, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2002
- 17 Julai - Phyllis Diller, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 7 Septemba - John Cornforth, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1975
- 10 Septemba - Masahiko Kimura, mwanariadha kutoka Japani
- 2 Oktoba - Christian de Duve, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1974
- 4 Oktoba - Violeta Parra, mwimbaji na mwanasiasa wa Chile
- 8 Oktoba - Rodney Porter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1972
- 10 Oktoba - Thelonious Monk, mwanamuziki wa Marekani
- 21 Oktoba - Dizzy Gillespie, mwanamuziki kutoka Marekani
- 27 Oktoba - Oliver Tambo, mwanasiasa kutoka Afrika Kusini
- 22 Novemba - Andrew Huxley, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 9 Desemba - James Rainwater, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975
- 21 Desemba - Heinrich Boll, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1972
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 16 Februari - Octave Mirbeau, mwandishi Mfaransa
- 31 Machi - Emil von Behring, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1901
- 27 Julai - Emil Theodor Kocher, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1909
- 13 Agosti - Eduard Buchner, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1907
- 20 Agosti - Adolf von Baeyer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1905
- 22 Desemba - Frances Cabrini
