1915
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| ►
◄◄ |
◄ |
1911 |
1912 |
1913 |
1914 |
1915
| 1916
| 1917
| 1918
| 1919
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1915 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 15 Februari - Robert Hofstadter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961
- 16 Februari - Elisabeth Eybers, mwandishi wa Afrika Kusini
- 28 Februari - Peter Medawar, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1960
- 7 Aprili - Billie Holiday, mwanamuziki Mmarekani
- 12 Mei - Frere Roger (Roger Schutz)
- 27 Mei - Herman Wouk, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1952
- 10 Juni - Saul Bellow, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1976
- 15 Juni - Thomas Weller, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954
- 1 Julai - Jean Stafford, mwandishi wa kike kutoka Marekani
- 4 Julai - Susanne Wenger, msanii kutoka Austria na kuhani wa Wayoruba nchini Nigeria
- 28 Julai - Charles Townes, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1964
- 27 Agosti - Norman Ramsey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1989
- 23 Septemba - Clifford Shull, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1994
- 17 Oktoba - Arthur Miller, mwandishi kutoka Marekani
- 19 Novemba - Earl Sutherland, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1971
- 29 Novemba - Billy Strayhorn, mwanamuziki wa Marekani
- 30 Novemba - Henry Taube, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1983
- 7 Desemba - Eli Wallach, mwigizaji kutoka Marekani
- 19 Desemba - Édith Piaf, mwimbaji wa kike kutoka Ufaransa
- 26 Desemba - Teofilo Kisanji, askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 20 Agosti - Paul Ehrlich, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1908
