1974
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1940 |
Miaka ya 1950 |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970
| Miaka ya 1980
| Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| ►
◄◄ |
◄ |
1970 |
1971 |
1972 |
1973 |
1974
| 1975
| 1976
| 1977
| 1978
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1974 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 10 Septemba - Nchi ya Guinea Bisau inapata uhuru rasmi kutoka Ureno.
- 12 Septemba - Kaisari Haile Selassie wa Ethiopia anapinduliwa na wanajeshi wa DERG.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 5 Februari - Omarosa Manigault, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 16 Februari - Johnny Tri Nguyen, mwigizaji filamu wa Kimarekani kutoka Vietnam Kusini
- 28 Februari - David Hellenius, mwigizaji wa filamu kutoka Uswidi
- 12 Machi - Scarlet Ortiz, mwigizaji filamu kutoka Venezuela
- 4 Julai - Mick Wingert, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 22 Julai - Franka Potente, mwigizaji filamu kutoka Ujerumani
- 24 Julai - Eugene Mirman, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 15 Agosti - Natasha Henstridge, mwigizaji filamu kutoka Kanada
- 18 Septemba - Xzibit, mwanamuziki wa Marekani
- 12 Novemba - Ralf Krewinkel, mwanasiasa kutoka Uholanzi
- 30 Desemba - Khalilou Fadiga, mchezaji mpira kutoka Senegal
bila tarehe
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 9 Machi - Earl Sutherland, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1971
- 18 Aprili - Marcel Pagnol, mwandishi kutoka Ufaransa
- 24 Mei - Duke Ellington, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 9 Juni - Miguel Asturias, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1967
- 18 Juni - George Kelly, mwandishi kutoka Marekani
- 11 Julai - Par Lagerkvist, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1951
- 13 Julai - Patrick Blackett, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1948
- 23 Julai - James Chadwick, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1935
- 4 Oktoba - Anne Sexton, mshairi kutoka Marekani
