1951
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1920 |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940 |
Miaka ya 1950
| Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| Miaka ya 1980
| ►
◄◄ |
◄ |
1947 |
1948 |
1949 |
1950 |
1951
| 1952
| 1953
| 1954
| 1955
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1951 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
- Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
- Kali Yuga | 5126 – 5127 |
Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
- 24 Desemba - Nchi ya Libya inapata uhuru kutoka Italia.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]- 3 Februari - Blaise Compaoré, Rais wa Burkina Faso
- 27 Aprili - Mario Das Neves, mwanasiasa wa Argentina
- 18 Mei - Bernard Feringa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2016
- 23 Mei - Philippe Van Parijs, mwanafalsafa kutoka Ubelgiji
- 30 Mei - Mathias Chikawe, mwanasiasa wa Tanzania na Waziri wa Sheria (2005-2010)
- 10 Juni - Isaac Amani Massawe, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 13 Juni - Peter Balakian, mshairi kutoka Marekani
- 20 Juni - Paul Muldoon, mshairi kutoka Marekani
- 30 Juni - Stanley Clarke, mwanamuziki kutoka Marekani
- 23 Julai - Edie McClurg, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Julai - Santiago Calatrava, msanifu majengo na mhandisi kutoka Hispania
- 16 Agosti - Umaru Musa Yar'Adua, Rais wa Nigeria (2007-2010)
- 24 Agosti - Oscar Hijuelos, mwandishi kutoka Marekani
- 30 Agosti - Khamis Suedi Kagasheki, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 14 Septemba - Frederick Duncan Michael Haldane, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2016
- 30 Septemba - Barry Marshall, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2005
- 19 Oktoba - Philly Lutaaya, mwanamuziki kutoka Uganda
- 25 Oktoba - Ingeborg Schwenzer, mwanasheria kutoka Ujerumani
- 1 Desemba - Jaco Pastorius, mwanamuziki kutoka Marekani
- 29 Desemba - Philip Sang'ka Marmo, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 10 Januari - Sinclair Lewis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1930
- 19 Februari - Andre Gide, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1947
- 23 Aprili - Charles Dawes, mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1925
- 29 Aprili - Ludwig Wittgenstein, mwanafalsafa kutoka Austria
- 6 Oktoba - Otto Meyerhof, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1922
Wikimedia Commons ina media kuhusu: