1949
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920 |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| ►
◄◄ |
◄ |
1945 |
1946 |
1947 |
1948 |
1949
| 1950
| 1951
| 1952
| 1953
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1949 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- Jumuiya ya Kibritania inabadilisha jina kuwa Jumuiya ya Madola kama ushirikiano wa Uingereza na koloni zake za zamani
- Kuundwa kwa madola mawili katika Ujerumani yaani:
- 23 Mei - Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani (mji mkuu Bonn) na
- 7 Oktoba - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani (mji mkuu Berlin ya Mashariki)
- 27 Desemba - Nchi ya Indonesia inashinda vita na kupata uhuru kutoka Uholanzi.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 22 Januari - Joseph Hill, mwimbaji kutoka Jamaika
- 25 Januari - Paul Nurse, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2001
- 30 Januari - Peter Agre, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2003
- 4 Machi - Hans van der Pluijm, meneja wa Yanga Sc nchini Tanzania
- 6 Machi - Benn Haidari, mpishi wa kiZanzibar nchini Ufini
- 19 Machi - Valery Leontiev, mwanamuziki na mwimbaji kutoka Urusi
- 6 Aprili - Horst Störmer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1998
- 26 Mei - Ward Cunningham, mgunduzi wa wiki kutoka Marekani
- 15 Juni - Jim Varney, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- Julai - Norbert Zongo, mhariri wa gazeti nchini Burkina Faso
- 7 Julai - Shelley Duvall, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 15 Julai - Anna Semamba Makinda, mwanasiasa wa Tanzania
- 15 Julai - Richard Russo, mwandishi kutoka Marekani
- 12 Septemba - Jeremy Cronin, mwandishi wa Afrika Kusini
- 23 Septemba - Bruce Springsteen, mwanamuziki kutoka Marekani
- 26 Septemba - Jane Smiley, mwandishi kutoka Marekani
- 6 Oktoba - Bobby Farrell, mwimbaji wa Kijerumani kutoka Aruba
- 16 Desemba - Kilontsi Mbebhaghu M. Mporogomyi, mwanasiasa wa Tanzania
- 21 Desemba - Thomas Sankara, Rais wa Burkina Faso (1983-1987)
bila tarehe
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 30 Machi - Friedrich Bergius, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1931
- 5 Mei - Maurice Maeterlinck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1911
- 18 Mei - James Truslow Adams, mwanahistoria kutoka Marekani
- 10 Juni - Sigrid Undset, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1928
- 16 Agosti - Margaret Mitchell, mwandishi kutoka Marekani
- 8 Septemba - Richard Strauss, mtunzi wa muziki kutoka Ujerumani
- 13 Septemba - August Krogh, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1920
