Jeremy Cronin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jeremy Cronin (amezaliwa 12 Septemba 1949) ni mwandishi, mwanaharakati na mwanasiasa wa Afrika Kusini. Mwaka wa 1976 alitiwa ndani kwa sababu ya upinzani wake dhidi ya ubaguzi wa rangi. Kitabu chake cha mashairi Inside kilitolewa aliporuhusiwa 1983. Baada ya sera za apartheid kupinduliwa, alikuwa mwanachama wa serikali na kuwa Waziri Kaimu wa Usafiri.

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jeremy Cronin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.