Maurice Maeterlinck

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

'

Maurice Maeterlinck
Maurice Maeterlinck
Amezaliwa29 Agosti 1862
Amefariki5 Mei 1949
Kazi yakemwandishi na mshairi kutoka nchi ya Ubelgiji


Maurice Polydore Marie Bernard Maeterlinck (29 Agosti 18625 Mei 1949) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Ubelgiji. Mwaka wa 1911 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Maurice Maeterlinck kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.