1862
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| ►
◄◄ |
◄ |
1858 |
1859 |
1860 |
1861 |
1862
| 1863
| 1864
| 1865
| 1866
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1862 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 24 Januari - Edith Wharton, mwandishi kutoka Marekani
- 28 Machi - Aristide Briand (Waziri Mkuu wa Ufaransa na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1926)
- 2 Aprili - Nicholas Butler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931)
- 5 Juni - Allvar Gullstrand (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1911)
- 7 Juni - Philipp Lenard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1905)
- 2 Julai - William Henry Bragg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1915)
- 29 Agosti - Maurice Maeterlinck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1911)
- 4 Septemba - Carl Velten (mkusanyaji wa hadithi za Kiswahili)
- 25 Septemba - Billy Hughes (Waziri Mkuu wa Australia)
- 6 Oktoba – Albert Beveridge (mwanasiasa wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1920)
- 15 Novemba - Gerhart Hauptmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1912)
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 18 Januari - John Tyler, Rais wa Marekani (1841-1845)
- 24 Julai - Martin Van Buren, Rais wa Marekani (1837-1841)