1864
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| ►
◄◄ |
◄ |
1860 |
1861 |
1862 |
1863 |
1864
| 1865
| 1866
| 1867
| 1868
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1864 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 22 Agosti - Nchi 12 zinakubali Mapatano ya Geneva zikihamasishwa na Henri Dunant, mwanzilishaji wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 13 Januari - Wilhelm Wien (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1911)
- 11 Juni - Richard Strauss, mtunzi wa muziki kutoka Ujerumani
- 25 Juni - Walther Nernst (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1920)
- 20 Julai - Erik Axel Karlfeldt (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1931)
- 11 Novemba - Alfred Fried (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1911)
- 24 Novemba - Henri de Toulouse-Lautrec, mchoraji wa Ufaransa
- 26 Desemba - Yun Chi-ho, mwanasiasa kutoka Korea Kusini
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 31 Desemba - George Mifflin Dallas, Kaimu Rais wa Marekani (1845-1849)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: