1865
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| ►
◄◄ |
◄ |
1861 |
1862 |
1863 |
1864 |
1865
| 1866
| 1867
| 1868
| 1869
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1865 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 2020 MMXX |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5780 – 5781 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2773 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2012 – 2013 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1469 ԹՎ ՌՆԿԹ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1442 – 1443 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1398 – 1399 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2075 – 2076 |
| - Shaka Samvat | 1942 – 1943 |
| - Kali Yuga | 5121 – 5122 |
| Kalenda ya Kichina | 4716 – 4717 己亥 – 庚子 |
- 1 Aprili - Richard Zsigmondy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1925)
- 25 Mei - Pieter Zeeman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1902
- 25 Mei - John Mott (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1946)
- 13 Juni - William Butler Yeats (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1923)
- 27 Agosti - Charles Dawes (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1925)
- 12 Oktoba - Arthur Harden (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1929)
- 2 Novemba - Warren G. Harding, Rais wa Marekani (1921-23)
- 8 Desemba - Jean Sibelius, mtunzi wa muziki kutoka Ufini
- 30 Desemba - Rudyard Kipling (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1907)
bila tarehe
- Mtakatifu Karolo Lwanga, mmoja wa wafiadini wa Uganda
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 15 Aprili - Abraham Lincoln, Rais wa Marekani (1861-65)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: