1869
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| ►
◄◄ |
◄ |
1865 |
1866 |
1867 |
1868 |
1869
| 1870
| 1871
| 1872
| 1873
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1869 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 17 Novemba - kunfunguliwa kwa Mfereji wa Suez
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 14 Februari - Charles Wilson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1927
- 27 Juni - Emma Goldman, mwanaharakati wa utawala huria kutoka Urusi na Marekani
- 27 Juni - Hans Spemann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1935)
- 29 Julai - Booth Tarkington, mwandishi kutoka Marekani
- 30 Julai - Mtakatifu Kristofa Magallanes, padri na mfiadini wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko
- 7 Agosti - Yosefu Maria Gambaro, padre na mmisionari mfiadini nchini Uchina
- 3 Septemba - Fritz Pregl (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1923)
- 17 Septemba - Christian Lous Lange, mwanasiasa Mnorwei na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1921
- 2 Oktoba - Mahatma Gandhi, mwanasheria, mwanafalsafa na kiongozi wa kisiasa nchini Uhindi
- 16 Oktoba - Claude H. Van Tyne, mwanahistoria kutoka Marekani
- 22 Novemba - Andre Gide (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1947)
- 30 Novemba - Nils Dalen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1912)
- 22 Desemba - Edwin Arlington Robinson, mshairi kutoka Marekani
- 31 Desemba - Henri Matisse, mchoraji kutoka Ufaransa
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 8 Machi - Hector Berlioz, mtunzi wa opera kutoka Ufaransa
- 8 Oktoba - Franklin Pierce, Rais wa Marekani (1853-1857)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: