Yanga Sc
Jump to navigation
Jump to search
Jina la utani | Wanajangwani |
---|---|
Uwanja | Uwanja wa Taifa |
Mwenyekiti | Yusuph Manji. |
Kocha | Mwinyi Zahera |
|
Yanga Sc (jina kamili ni Young Africans Sports Club) ni timu ya soka ya mjini Dar es Salaam iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935 inayoshiriki Ligi kuu ya Tanzania na ni mabingwa mara 26 nchini humo. Young African Sports Club ni mabingwa mara 5 kombe la mabingwa Afrika Mashariki Kagame.
Katika ngao ya jamii Yanga imeifunga Azam FC kwa jumla ya magoli 8 kwa 7, hii ni mara ya tatu kwa Azam FC kukutana na Yanga katika Ngao ya Jamii na Yanga kumfunga Azam kwenye mechi zote tatu.
Wachezaji[hariri | hariri chanzo]
Note: Flags indicate national team as has been defined under FIFA eligibility rules. Players may hold more than one non-FIFA nationality.
|
Wachezaji wa kigeni[hariri | hariri chanzo]
Ligi Kuu ya Tanzania inaruhusu wachezaji wa nje saba. Yanga kwa sasa wanatumia wachezaji Watano wa kigeni ambao ni