Nenda kwa yaliyomo

Stephane Aziz Ki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Stephane Aziz Ki

Stephane Aziz Ki, (alizaliwa nchini Kodivaa, 6 Machi 1996) ni mchezaji wa kitaalamu wa mpira wa miguu anayecheza nafasi ya kiungo wa kati katika klabu ya Young Africans S.C. inayocheza Ligi Kuu Tanzania Bara[1]. Anacheza pia kwa timu ya Taifa ya Burkina Faso.[2]

Aziz Ki ana asili ya Burkinabé. Alianza kuchezea Burkina Faso katika mechi ya kirafiki ambapo walipoteza 2-0 dhidi ya Moroko tarehe 24 Machi mwaka 2017.[3][4]

Omonia Nicosia

[hariri | hariri chanzo]

Januari mwaka 2017, alihamia Omonia, kutoka CD San Roque de Lepe. Akiwa na Omonia, Ki ameshiriki mara 13, ikiwa ni pamoja na kuanza mara saba.

Takwimu za klabu

[hariri | hariri chanzo]
As of mechi ilichezwa 24 Februari 2018
Klabu Msimu Ligi Kombe Ulaya Jumla
Mechi Mabao Mechi Mabao Mechi Mabao Mechi Mabao
- - - - - - - - San Roque
2015–16 24 2 0 0 24 2
Jumla 24 2 0 0 24 2
Omonia
2016–17 13 0 2 0 0 0 2 1
2017–18 5 0 0 0 5 0
Jumla 18 0 2 0 0 0 20 0
Jumla ya Kazi 42 2 2 0 0 0 44 2

Mabao ya kimataifa

[hariri | hariri chanzo]
No. Tarehe Uwanja Mpinzani Alama Matokeo Mashindano
1. 7 Juni 2022 FNB Stadium, Johannesburg, Afrika Kusini Eswatini 3–1 3–1 Mchujo wa Kombe la Mataifa ya Afrika ya 2023
  1. "Yanga begins PremierLeague title defense with visit to Polisi Tanzania". www.ippmedia.com. Agosti 16, 2022.
  2. "Stephane Aziz Ki : ASEC Mimosas". www.leballonrond.fr. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-06-15. Iliwekwa mnamo 2022-06-15.
  3. "Maroc 2-0 Burkina-Faso : Matchs Amicaux Sélections 2017 : Détails du jeu : leballonrond.fr". www.leballonrond.fr (kwa Kifaransa). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 15 Juni 2022. Iliwekwa mnamo 21 Agosti 2017.
  4. "Morocco 2-0 Burkina Faso : Videos : zerozero.pt". www.zerozero.pt (kwa Kireno). Iliwekwa mnamo 21 Agosti 2017.