Frances Cabrini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtakatifu Mama Frances Xavier Cabrini

Fransiska Saviera Cabrini (Sant'Angelo Lodigiano, Italia, 15 Julai 1850Chicago, Illinois, Marekani, 22 Desemba 1917) alikuwa mwanzilishi wa shirika la Masista Wamisionari wa Moyo Mtakatifu (kwa Kiingereza Missionary Sisters of the Sacred Heart).

Jumuiya hiyo ilianzia Italia na kufanya kazi hasa Marekani kati ya wahamiaji kwa kujenga shule, hospitali na nyumba kwa watoto yatima.

Mwaka 1946 Mama Cabrini alitangazwa kuwa mtakatifu akiwa raia Mmarekani wa kwanza kupewa heshima hiyo.

Sikukuu yake ni tarehe 22 Desemba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.