1492
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 14 |
Karne ya 15
| Karne ya 16
| ►
◄ |
Miaka ya 1460 |
Miaka ya 1470 |
Miaka ya 1480 |
Miaka ya 1490
| Miaka ya 1500
| Miaka ya 1510
| Miaka ya 1520
| ►
◄◄ |
◄ |
1488 |
1489 |
1490 |
1491 |
1492
| 1493
| 1494
| 1495
| 1496
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1492 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 2 Januari - Mfalme Boabdil wa Granada anasalimisha mji wake kwa wafalme wa Hispania - mwisho wa utawala wa Kiislamu katika Hispania
- 30 Machi - Wafalme Ferdinand na Isabella wa Hispania waamuru kufukuzwa nchini kwa Wayahudi wote wasiopokea imani ya kikatoliki
- 31 Julai - Wahayudi wanafukuzwa Hispania
- Sultani Bayazid II wa Dola la Uturuki anatuma meli zake kwa shabaha ya kupokea Wayahudi wanaofukuzwa Hispania na kuwapeleka katika miji ya dola lake
- 2 Agosti - Kristoforo Kolumbus anaanza safari yake ya kwanza ya kuvuka Atlantiki akiamini ya kwamba anaelekea Uhindi
- 11 Agosti - Uchaguzi wa Papa Alexander VI
- 12 Oktoba - Kristoforo Kolumbus anafika kwenye visiwa vya Karibi akiamini ya kwamba amefika Uhindini.
- 28 Oktoba - Kristoforo Kolumbus anafika Kuba.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
- Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
- Kali Yuga | 5126 – 5127 |
Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]Wikimedia Commons ina media kuhusu: