1492
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 14 |
Karne ya 15
| Karne ya 16
| ►
◄ |
Miaka ya 1460 |
Miaka ya 1470 |
Miaka ya 1480 |
Miaka ya 1490
| Miaka ya 1500
| Miaka ya 1510
| Miaka ya 1520
| ►
◄◄ |
◄ |
1488 |
1489 |
1490 |
1491 |
1492
| 1493
| 1494
| 1495
| 1496
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1492 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 2 Januari - Mfalme Boabdil wa Granada anasalimisha mji wake kwa wafalme wa Hispania - mwisho wa utawala wa Kiislamu katika Hispania
- 30 Machi - Wafalme Ferdinand na Isabella wa Hispania waamuru kufukuzwa nchini kwa Wayahudi wote wasiopokea imani ya kikatoliki
- 31 Julai - Wahayudi wanafukuzwa Hispania
- Sultani Bayazid II wa Dola la Uturuki anatuma meli zake kwa shabaha ya kupokea Wayahudi wanaofukuzwa Hispania na kuwapeleka katika miji ya dola lake
- 2 Agosti - Kristoforo Kolumbus anaanza safari yake ya kwanza ya kuvuka Atlantiki akiamini ya kwamba anaelekea Uhindi
- 11 Agosti - Uchaguzi wa Papa Alexander VI
- 12 Oktoba - Kristoforo Kolumbus anafika kwenye visiwa vya Karibi akiamini ya kwamba amefika Uhindini.
- 28 Oktoba - Kristoforo Kolumbus anafika Kuba.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 1492 MCDXCII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5252 – 5253 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1484 – 1485 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 941 ԹՎ ՋԽԱ |
| Kalenda ya Kiislamu | 897 – 898 |
| Kalenda ya Kiajemi | 870 – 871 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1547 – 1548 |
| - Shaka Samvat | 1414 – 1415 |
| - Kali Yuga | 4593 – 4594 |
| Kalenda ya Kichina | 4188 – 4189 辛亥 – 壬子 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: