Papa Gregori II
Jump to navigation
Jump to search
Papa Gregori II alikuwa Papa kuanzia tarehe 19 Mei 715 hadi kifo] chake tarehe 11 Februari 731.
Alimfuata Papa Konstantino akafuatwa na Papa Gregori III.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 11 Februari[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |