Papa Sixtus V

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Sisto V)
Papa Sixtus V.

Papa Sixtus V, O.F.M.Conv. (13 Desemba 152127 Agosti 1590) alikuwa Papa kuanzia tarehe 24 Aprili/1 Mei 1585 hadi kifo chake[1]. Alitokea Grottammare, Ascoli Piceno, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Felice Peretti.

Alimfuata Papa Gregori XIII akafuatwa na Papa Urbano VII.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Sixtus V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.