Papa Klementi III

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi III.

Papa Klementi III (alifariki mnamo Machi 1191) alikuwa Papa kuanzia tarehe 19/20 Desemba 1187 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Paulo Scolari.

Alimfuata Papa Gregori VIII akafuatwa na Papa Selestini III.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.