Papa Benedikto XV

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Benedikto XV.

Papa Benedikto XV (21 Novemba 185422 Januari 1922) alikuwa Papa kuanzia tarehe 3/6 Septemba 1914 hadi kifo chake[1]. Alitokea Genova, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giacomo della Chiesa.

Alimfuata Papa Pius X (1903-14) akafuatwa na Papa Pius XI.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto XV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.