Papa Sixtus II
(Elekezwa kutoka Papa Sisto II)
Jump to navigation
Jump to search

Kuuawa kwa Papa Sixtus II na mashemasi wake 6.
Papa Sixtus II alikuwa Papa kuanzia tarehe 30 Agosti 257 hadi kifodini chake tarehe 6 Agosti 258.
Alimfuata Papa Stefano I akafuatwa na Papa Dionysius.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini pamoja na mashemasi wake sita, wakiwemo Agapito na Felisisimi waliouawa siku hiyohiyo sehemu nyingine.
Sikukuu yake ni tarehe 7 Agosti[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- "St. Xystus, or Sixtus II., Pope and Martyr", Butler's Lives of the Saints
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Sixtus II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |