Catholic Encyclopedia
Jump to navigation
Jump to search
Catholic Encyclopedia, au Old Catholic Encyclopedia au Original Catholic Encyclopedia,[1] ni kamusi elezo ya Kiingereza kutoka Marekani ambayo inafafanua vidahizo kuhusu Kanisa Katoliki.
Gombo la kwanza lilitolewa mnamo Machi 1907. [2][3]. Toleo hili linapatikana katika intaneti kwa wasomaji wote.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ The Original Catholic Encyclopedia. Catholic Answers. Iliwekwa mnamo 2011-07-21.[dead link]
- ↑ Preface to the Catholic Encyclopedia
- ↑ Scan of "Preface". Catholic Answers. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-05-22. Iliwekwa mnamo 6 Septemba 2010.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
![]() |
Wikisource has original text related to this article: |
- Catholic Encyclopedia Archived Agosti 20, 2008 at the Wayback Machine. at Catholic.com
- Catholic Encyclopedia on New Advent
- Catholic Encyclopedia on Catholicity
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |