Papa Benedikto V
Jump to navigation
Jump to search
Papa Benedikto V alikuwa Papa kuanzia tarehe 22 Mei hadi 23 Juni 964.
Jina lake la kuzaliwa halijulikani.
Alimfuata Papa Yohane XII akafuatwa na Papa Leo VIII.
Alilazimishwa kujiuzulu na Kaisari Otto I wa Ujerumani aliyempeleka kwenda mji wa Hamburg alipofariki tarehe 4 Julai 966.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |