Papa Stefano VIII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Stefano VIII.

Papa Stefano VIII alikuwa Papa kuanzia tarehe 14 Julai 939 hadi kifo chake mwisho wa Oktoba 942[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa halijulikani.

Alimfuata Papa Leo VII akafuatwa na Papa Marinus II.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Stefano VIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.