Papa Zephyrinus

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Zefirino.

Papa Zephyrinus alikuwa papa kuanzia takriban 198 hadi kifo chake tarehe 20 Desemba 217/218[1]. Alitokea Roma, Italia.

Alimfuata Papa Vikta I akafuatwa na Papa Kalisto I.

Alipambana na aina mbalimbali za uzushi kutetea umungu wa Yesu Kristo[2] .

Pia alitegemeza Wakristo katika dhuluma ya kaisari Setimio Severo (193-211)[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 20 Desemba[4][5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. Optatus, De Schismate 1,1
  3. A. Butler, Lives of the Saints Vol VIII, 1866
  4. "Calendarium Romanum" (Libreria Editrice Vaticana, 1969), p. 136
  5. "Martyrologium Romanum" (Libreria Editrice Vaticana, 2001 ISBN 88-209-7210-7)

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Rendina, Claudio, The Popes' Histories and Secrets (2002)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Zephyrinus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.