Papa Zephyrinus
Jump to navigation
Jump to search
Papa Zephyrinus alikuwa papa kuanzia takriban 199 hadi kifo chake tarehe 20 Desemba 217.
Alimfuata Papa Vikta I akafuatwa na Papa Kalisto I.
Mtu wa Roma, alipambana na uzushi kutetea umungu wa Yesu Kristo.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 20 Desemba[1][2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Calendarium Romanum" (Libreria Editrice Vaticana, 1969), p. 136
- ↑ "Martyrologium Romanum" (Libreria Editrice Vaticana, 2001 ISBN 88-209-7210-7)
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Rendina, Claudio, The Popes' Histories and Secrets (2002)
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Zephyrinus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |