Kaburi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaburi la I'timād-ud-Daulah, Agra, India.
Kaburi la Akbar.
Aina ya kaburi kwenye Père Lachaise Cemetery.
Hiramu ya Khufu, Misri.
Makaburi na majeneza ya marumaru huko Hierapolis.

Kaburi ni mahali pa kulaza maiti ya binadamu au mabaki yake.

Tendo lenyewe linaitwa mazishi au maziko na mara nyingi linaendana na aina ya ibada.

Linaweze kuwa na namna nyingi, kadiri ya utamaduni wa wahusika.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: