Papa Felix I
Mandhari
(Elekezwa kutoka Papa Felisi I)
Papa Felix I alikuwa Papa kuanzia tarehe 5 Januari 269 hadi kifo chake tarehe 30 Desemba 274[1]. Alitokea Roma, Italia[2].
Alimfuata Papa Dionysius akafuatwa na Papa Eutychian, akiongoza Kanisa wakati wa kaisari Aurelianus [3].
Alitoa barua muhimu kuhusu umoja wa nafsi ya Kristo na kwa msaada wa kaisari Aureliani alitatua farakano la Antiokia kuhusu Utatu Mtakatifu wa Mungu pekee[4][5].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 30 Desemba[6].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Mababu wa Kanisa
- Orodha ya Mapapa
Maandishi yake
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
- ↑ Annuario Pontificio 2012 (Libreria Editrice Vaticana 2008 ISBN|978-88-209-8722-0), p. 8*
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/55150
- ↑ "St. Felix I". Encyclopædia Britannica Online. Iliwekwa mnamo 20 Aprili 2010.
{{cite encyclopedia}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Encyclopædia Britannica (tol. la 11th). Cambridge University Press.
{{cite encyclopedia}}
: Cite has empty unknown parameter:|coauthors=
(help) Chisholm, Hugh, mhr. (1911). . - ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Felix I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |