Nenda kwa yaliyomo

Papa Paulo II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Paulo II.

Papa Paulo II (23 Februari 141726 Julai 1471) alikuwa Papa wa Kanisa Katoliki na mtawala wa Dola la Papa kuanzia tarehe 30 Agosti/16 Septemba 1464 hadi kifo chake[1]. Alitokea Venezia, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pietro Barbo.

Alimfuata Papa Pius II akafuatwa na Papa Sixtus IV.

Alipoona mjomba wake, Papa Eugenio IV, akichaguliwa, aliacha mafunzo ya biashara na kuingia katika masomo ya dini. Kupanda kwake madarakani ndani ya Kanisa kulikuwa kwa haraka, na alipochaguliwa kuwa Papa mwaka 1464, alikusanya kwa wingi sanaa na vitu vya kale. [3]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  3. Modigliani, Anna (2000). "PAOLO II". Enciclopedia dei Papi (kwa Kiitaliano).

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Paulo II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.