Papa Agapeto I
(Elekezwa kutoka Papa Agapetus I)
Jump to navigation
Jump to search
Papa Agapeto I alikuwa Papa kuanzia mwezi wa Mei au Juni 535 hadi kifo chake tarehe 22 Aprili 536.
Alimfuata Papa Yohane II akafuatwa na Papa Silverio.
Alisimama imara dhidi ya Waario, pia alimwondoa madarakani Anthimus, askofu mkuu wa Trabzon (Uturuki) aliyehamishimiwa na serikali kuwa Patriarki wa Konstantinopoli kutokana na mafunzo yake yaliyoangaliwa na Kanisa Katoliki kuwa ya uzushi.
Muda si mrefu baada ya kifo chake alianza kuheshimiwa kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Dudden, Frederick H. (1905), Gregory the Great, London: Longmans, Green, and Co
- Louise Ropes Loomis, The Book of Popes (Liber Pontificalis). Merchantville, NJ: Evolution Publishing. ISBN 1-889758-86-8 (Reprint of the 1916 edition. English translation with scholarly footnotes, and illustrations).
- Martindale, John R.; Jones, A.H.M.; Morris, John (1992), The Prosopography of the Later Roman Empire, Volume III: AD 527–641, Cambridge University Press, ISBN 978-0521201608 Check
|isbn=
value (help)
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Agapeto I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |