Papa Hormisdas

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Hormisdas.

Papa Hormisdas alikuwa Papa kuanzia tarehe 20 Julai 514 hadi kifo chake tarehe 6 Agosti 523[1].

Alimfuata Papa Simako akafuatwa na Papa Yohane I.

Alipochaguliwa alikuwa shemasi mjane; kutokana na ndoa yake alikuwa na mwana aliyekuja kuwa Papa Silverio baadaye.

Alipatanisha waliokuwa wafuasi wa antipapa Laurentius[2] akafaulu pia kumaliza farakano lililoanzishwa na Patriarki Acacius wa Konstantinopoli (484-519)[3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Agosti[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. Richards, Popes and the Papacy, p. 100
  3. On 28 March 519, the reunion between Constantinople and Rome was ratified in the cathedral of Constantinople before a large crowd.
  4. Martyrologium Romanum

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Hormisdas kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.