Papa Callixtus III

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Kalisto III)
Papa Kalisti III.

Papa Callixtus III (31 Desemba 13786 Agosti 1458) alikuwa Papa kuanzia tarehe 8/20 Aprili 1455 hadi kifo chake[1]. Alitokea Jativa, Hispania[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Alonso Borja.

Alimfuata Papa Nikolasi V akafuatwa na Papa Pius II.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Callixtus III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.