Papa Sergio I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Sergius I)
Mt. Sergio I.

Papa Sergio I alikuwa Papa kuanzia tarehe 15 Desemba 687 hadi kifo chake tarehe 7 Septemba 701[1]. Alitokea Syria[2] au alizaliwa Palermo (Italia) katika familia kutoka Syria[3].

Alimfuata Papa Konon[4][5][5][6][7] akafuatwa na Papa Yohane VI.

Alimfanya mmisionari Wilibrodi kuwa askofu wa Wafrisia na alimaliza farakano la Akwileia (698)[5].

Alikataa kabisa[8][9] kuthibitisha kanuni zilizotungwa na maaskofu wa Mashariki[10] katika Mtaguso wa tano-sita zikilenga kufanya desturi za Konstantinopoli zifuatwe na Wakatoliki wote[11][12]. Kwa sababu hiyo kaisari Justiniani II aliagiza akamatwe na kuletwa Konstantinopoli, lakini watu walizuia utekelezaji wa amri hiyo[5][13].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, hasa tarehe ya kifo chake[14].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  3. Jeffrey Richards (2014). The Popes and the Papacy in the Early Middle Ages: 476–752. Routledge. p. 270. ISBN 9781317678175. 
  4. Horace Mann: The lives of the popes. Vol. I pt. 2, London 1903, p. 80
  5. 5.0 5.1 5.2 5.3 Frank N Magill, Alison Aves, Dictionary of World Biography (Routledge 1998 ISBN|978-1-57958041-4), vol. 2, pp. 823–825
  6. Ekonomou, 2007, p. 216.
  7. Ekonomou, 2007, p. 217.
  8. Hartmann (2012), p. 82
  9. Ekonomou, 2007, p. 222.
  10. Wilfried Hartmann, Kenneth Pennington (editors), The History of Byzantine and Eastern Canon Law to 1500 (CUA Press 2012 ISBN|978-0-81321679-9), p. 79
  11. Ostrogorsky, George; Hussey, Joan (trans.) (1957). History of the Byzantine state. New Brunswick, N.J.: Rutgers University Press. pp. 122–23. ISBN 978-0-8135-0599-2.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  12. In a step that was symbolically important in view of the council's prohibition of depicting Christ as a Lamb, Sergius introduced into the liturgy the chant "Lamb of God, you take away the sins of the world, have mercy on us" at the breaking of the Host during Mass, and restored the damaged facade mosaic in the atrium of Saint Peter's that depicted the Worship of the Lamb. Cfr. Ekonomou, 2007, p. 223. The Agnus Dei would have been chanted in both Greek and Latin during this period, in the same manner as the other liturgical changes of Sergius. Cfr. Ekonomou, 2007, p. 250.
  13. Ekonomou, 2007, p. 44.
  14. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books. ISBN 978-0739119778

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Sergio I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.