Mmisionari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wamisionari Wakatoliki huko Papua New Guinea.

Mmisionari (au Mwanamisheni) ni mtu wa dini fulani ambaye anafanya kazi ya kuieneza kwa wasio waumini wa dini hiyo. Kwa kawaida mhusika ni Mkristo, lakini si lazima.

Jina linatokana na neno la Kilatini missio lenye maana ya utume (kutuma au kutumwa).[1]

Mara nyingi, kazi hiyo inakwenda sambamba na utoaji wa huduma za kijamii, hasa elimu, afya, utetezi wa haki[2], maendeleo katika uchumi n.k.[3][4]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Online Etymology Dictionary. Etymonline.com. Retrieved on 2011-01-19.
  2. Barua ya padri Andreas Amrhein kwa Papa Leo XIII tarehe 18 Aprili 1887 kuhusu mazungumzo yake na mkoloni Karl Peters: "Wao wanataka wamisionari kwa ajili ya faida yao wenyewe. Lakini nimeweka masharti: wamisionari wafanye kazi yao kwa uhuru wote, bila kupingwa kwa namna yoyote na wakoloni. Licha ya hayo naona kwamba wamisionari wataweza kuwalinda wenyeji wasinyonywe ovyo na wakoloni na wafanyabiashara".
  3. Missionary | Define Missionary at Dictionary.com. Dictionary.reference.com. Retrieved on 2011-01-19.
  4. Thomas Hale 'On Being a Missionary' 2003, William Carey Library Pub, ISBN 0878082557

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.