Justiniani II

Kaisari Justiniani II (668/669 - 4 Novemba 711) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 685 hadi 695, tena kutoka 705 hadi 711, alipouawa kwa kiburi na ukatili wake.
Alijitahidi kurudisha Dola la Roma katika hadhi yake ya zamani.
Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kuendesha mtaguso wa tano-sita katika ikulu yake.
Tangu kale Waorthodoksi wanamheshimu kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti[1][2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Orodha ya Makaizari wa Roma
- Orodha ya Makaizari wa Byzantini
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Ostrogorsky, George (1956). History of the Byzantine State. Basil Blackwell.
Vyanzo[hariri | hariri chanzo]
Vyanzo vikuu[hariri | hariri chanzo]
- Theophanes the Confessor, Chronographia.
Vinginevyo[hariri | hariri chanzo]
- Kazhdan, Alexander, ed. (1991), Oxford Dictionary of Byzantium, Oxford University Press, ISBN 978-0-19-504652-6
- Norwich, John Julius (1990), Byzantium: The Early Centuries, Penguin, ISBN 0-14-011447-5
- Ostrogorsky, George (1956). History of the Byzantine State. Basil Blackwell.
- Moore, R. Scott (1998) "Justinian II (685–695 & 705–711 A.D.)". De Imperatoribus Romanis.
- Bury, J.B. (1889). A History of the Later Roman Empire from Arcadius to Irene, Vol. II, MacMillan & Co.