Kiburi
Jump to navigation
Jump to search
Kiburi ni hamu isiyoratibiwa ya kujipatia ukuu dhidi ya wengine.
Katika Ukristo ndicho kilema kikuu cha roho ya shetani na binadamu aliyepotoka.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |