Wajibu
Jump to navigation
Jump to search
Wajibu ni kazi au jambo fulani ambalo ni lazima ufanye au kutimiza.
Kila mtu ana wajibu wake, hata kama ni baba wa familia.
Mifano ya wajibu:
- kwa mama:
- kumsaidia baba kazi
- kuwapa watoto upendo, kwani mama ndiye anayekaa na watoto kwa muda mwingi kuliko baba ila si mama tu
- kufanya kazi
- kwa mtoto:
- kusoma kwa bidii
- kutii wazazi
- kufanya kazi za nyumbani n.k.
- kusoma kwa bidii
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |