Utashi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Utashi, sanamu ya Louis-Charles Janson kwa Opéra national de Paris (1875).

Utashi (kwa Kiingereza: will) ni kipawa cha binadamu kinachomfanya aweze kutaka mwenyewe chochote.

Kitu hicho kinaweza kuwa chema na hata kibaya, ingawa akili yake mwenyewe inaona zaidi wema fulani uliomo na ambao unamvuta.