Utashi

Utashi (kwa Kiingereza: will) ni kipawa cha binadamu kinachomfanya aweze kutaka mwenyewe chochote.
Kitu hicho kinaweza kuwa chema na hata kibaya, ingawa akili yake mwenyewe inaona zaidi wema fulani uliomo na ambao unamvuta.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |