Sadaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marcus Aurelius na wanafamilia wake wakitoa sadaka ya shukrani kwa kushinda Wagermanik: jinsi ilivyochongwa wakati huo katika marumaru, Roma, Italia.

Sadaka ni toleo la chochote, kama vile chakula, vitu au wanyama, kwa lengo la juu, hasa la kidini, kwa mfano kumheshimu Mungu na kujiombea fadhili fulani toka kwake.

Kafara[hariri | hariri chanzo]

Kafara ya Waazteki ya kumchinja mtu, ilivyochorwa katika Codex Mendoza, karne ya 16, (Bodleian Library, Oxford).

Kama sadaka inaendana na uchinjaji wa binadamu au mnyama inaweza kuitwa kafara.

Aina nyingine za sadaka[hariri | hariri chanzo]

  1. Fungu la Kumi
  2. Malimbuko
  3. Nadhiri

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Davies, Nigel (1981). Human Sacrifice: In History and Today. Dorset Press. ISBN 0-88029-211-3. 
  • Lancaster, John. "In India, case links mysticism, murder", Washington Post, 29 Novemba 2003. 
  • Heinsohn, Gunnar: "The Rise of Blood Sacrifice and Priest Kingship in Mesopotamia: A Cosmic Decree?" Religion, Vol. 22, 1992 [1]
  • Sacrifice (Catholic Encyclopedia)
  • Bataille, Georges (1992). Theory of Religion. Zone Books. ISBN 0-942299-09-4. 
  • Carter, Jeffrey (2003). Understanding Religious Sacrifice. Continuum. ISBN 0-8264-4880-1. 
  • Hubert, Henri; Marcel Mauss (1981). Sacrifice: Its Nature and Function. U of Chicago Press(reprint, orig 1898). ISBN 0-226-35679-5. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]