Kanuni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kanuni ni taratibu zilizotungwa na binadamu ambazo ni lazima kutimizwa.

Taratibu hizi zinaweza kuwa za afya, uchumi, biashara, kilimo, dini n.k.

Mfano wa kanuni za afya:

  • Nawa mikono kabla au baada ya kula kwa maji safi na salama.
  • Nawa mikono kila baada ya kutoka chooni.
  • Osha tunda kwa maji safi kabla ya kulila.